ALIYOYASEMA MO DEWJ BAADA YA KUJIUZULU NAFASI YA UENYEKITI WA BODI SIMBA SC.

                           

Mwenyekiti wa Bodi Ya Wakurugenzi wa Simba SC Mohammed Dewji amejihudhuru nafasi ya Uwenyekiti wa Bodi kutokana na makubaliano waliyofikia wanakamati katika kikao kilichofanyika tarehe 21 mwezi huu.

Nafasi yake imechukulia na Salim Abdallah maarufu 'Try Again' ambaye alikuwa makamu wake.

Mohammed Dewji amesema ataendelea kubaki kuwa muwekezaji na mwanahisa wa timu lakni kwenye nafasi ya Mwenyekiti ameamua kupumzika kutokana na Muda mwingi yeye kutokuwa nchini.

0/Post a Comment/Comments