HomeBIASHARA OFISI ZA TRA KUWA WAZI NCHI NZIMA byTorch Media -November 28, 2025 0 ::::::::::::Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa ofisi zake zitakuwa wazi Jumamosi tarehe 29 na Jumapili tarehe 30 kwa nchi nzima kuanzia saa 2:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni.TRA imewakaribisha kwenda kupata huduma.
Post a Comment