KIAPO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Mhe. Jaji Jacob Casthom Mwatebela Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. leo tarehe 10 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Mhe. Jaji Sam Mpya Rumanyika kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. leo tarehe 10 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Ndugu Patience Kilanga Ntwina kuwa katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora. leo tarehe 10 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

0/Post a Comment/Comments