BALOZI NCHIMBI ATETA NA OTHMAN MASOUD OTHMAN

*****

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, walipokutana Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, wakati wa utoaji heshima za mwisho, kumuaga Hayati Mzee Cleopa David Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, katika Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam, leo Jumapili tarehe 11 Mei 2025. 


 #Ends

0/Post a Comment/Comments