Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa (kushoto) wakipata maelezo kutoka Mkuu wa Gereza la Kwitanga wilayani Kigoma, Uswege Mwahesya (kulia) kuhusu mchikichi alioupanda Mheshimiwa Majaliwa 23/05/2020. Mche huo unatarajiwa kutoa mavuno mwakani.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sehemu ya shamba la michikichi la
gereza la Kwitanga mkoani Kigoma ambalo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
aliliizndua 23/05/2020 na jana Sepptemba 17, 2021
alilitembelea. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment