IFAHAMU NCHI YA KWANZA KUTOA CHANJO YA UVIKO 19 KWA WATOTO


Cuba imekuwa nchi ya kwanza ulimwenguni kutoa chanjo ya Uviko kwa watoto kuanzia umri wa miaka 2 wakitumia chanjo zilizotengenezwa majumbani na ambazo bado hazitambuliki na Shirika la Afya duniani.


Majaribio ya chanjo za Abdala na Soberana kwa watoto pia yalionekana kuwa salama.


#TimesFMDigital 

0/Post a Comment/Comments