

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wadau
wa Sekta ya TEHAMA wakati alipofungua Mkutano wa Tano wa Mwaka wa TEHAMA
Tanzania uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa
Arusha (AICC) jijini Arusha, Oktoba 22, 2021.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment