MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI, MADIWANI NA WANANCHI WA KILWA.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi, Madiwani na wananchi wa Halmashauri ya wilaya Kilwa kwenye ukumbi wa Kwa Sultan, Kilwa Masoko, Oktoba 6, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya Madiwani, watumishi na wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Kwa Sultan uliopo Kilwa Masoko, Oktoba 6, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0/Post a Comment/Comments