MHE. RAIS SAMIA AKIHUTUBIA KWENYE UZINDUZI WA JENGO LA KITUO JUMISHI CHA UTOAJI HAKI JIJINI DODOMA.
byTorch Media-0
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wakati wa uzinduzi wa
Jengo la Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki katika eneo la National Capital
City, Jijini Dodoma leo tarehe 06 Oktoba 2021.
Post a Comment