Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Jumuiya ya
Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa wakati alipotembelea mabanda katika
uzinduzi wa wiki ya vijana kitaifa kwenye uwanja wa Mazaina, Chato, Geita
Oktoba 12, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi Mkuu
wa Nyaraka na Maktaba ya Mwalimu Nyerere katika Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Sophia Fredy ( kulia) wakati
alipotembelea mabanda katika uzinduzi wa wiki ya vijana kitaifa Chato, Geita
Oktoba 12, 2021. Wa pili kushoto ni Karani wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Habiba Nassoro (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi Mkuu
wa Nyaraka na Maktaba ya Mwalimu Nyerere katika Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Sophia Fredy ( kulia) wakati
alipotembelea mabanda katika uzinduzi wa wiki ya vijana kitaifa Chato, Geita
Oktoba 12, 2021. Wa pili kushoto ni Karani wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Habiba Nassoro (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment