Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Mayenga, Bungeni
jijini Dodoma, Novemba 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu
Nchemba, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali, Dkt. Eliezer Feleshi akiapa kuwa Mbunge, bungeni jijini
Dodoma, Novemba 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment