DKT.TULIA ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson,akikabidhiwa  fomu ya kuwania nafasi ya USPIKA wa Bunge,na Katibu msaidizi Mkuu Idara ya Organaizesheni Bw. Solomon Itunda katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini  Dodoma leo Januari 10,2022.

0/Post a Comment/Comments