MAKAMU WA RAIS AONDOKA MALAWI BAADA YA KUMALIZIKA KWA MKUTANO WA DHARURA WA SADC.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Philip Mpango akiagana na Viongozi Mbalimbali wa Jamhuri ya Malawi  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe Nchini mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC). Uliofanyika Lilongwe nchini  Malawi Januari 12,2022.

Picha – Ofisi ya Makamu wa Rais – Januari 12,2022.

0/Post a Comment/Comments