Bondia mwingereza Tyson Fury amemkung'uta KO mwingereza mwenzie Dillian Whyte kwenye raundi ya 6 ya pambana la uzito wa juu lililochezwa kwenye uwanja wa Wembley na kufanikiwa kubakisha mkanda WBC.
Furry kwa sasa atakuwa amepigana mapambano 33 akishinda 32 akitoa droo 1 na ameshinda kwa KO mara 23.
#TimesFMDigital

Post a Comment