Timothy Marko
MSANII wa Bongo flavour Lulu Diva amechaguliwa kuwa Balozi wa Duka Men Destination& Fashion
Duka hilo lilopo mtaa wa samora linalouza Nguo mbalimbali za kisasa za kutoka ulaya na Asia.
"MEN Destination awali lilikuwa linauza Nguo za kike,kutokana msukumo wa kuanzisha qcana mtaa wa samora kuwa mzunguko wa watu.
Awali kutokana na mwitikio mkubwa kwa duka hilo kwa wanawake ndio maana wameanzisha bidhaa za nguo za kiume.
"Vitu vyetu tumeviprint bidhaa zetu,kutoka uturuki tunawakaribisha katika dukaletu ukinunua bidhaa zetu unapata lita tano za mafuta bure."Alisema lulu Diva.
Naye Mkurugenzi wa Duka Men Destination Hamza raufu alisema wamekuja bidhaa mpya za kutoka uturuki ikiwemo Suti za kisasa na Mashati ya kisasa.
Alisema ukitaka kuvaa suti na mashati ya kisasa waje Duka men destination.
" Juhudi kubwa tumeziona kwa balozi wetu lulu Diva ukiona Men destination na women,tuna bidhaa zetu ni suti "Hamza Raufu.


Post a Comment