YUNA,MAKUMBUSHO YA TAIFA KUWAKUTANISHA VIJANA .



            ******

Timothy Marko

ASASI  ya Vijana wa Umoja wa Mataifa  Tanzania(YUNA) kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa Tanzania imeandaa  kongamano la kitaifa Vijana juu  ya urithi wa kitamaduni linalotarajiwa kufanyika Jumba la Makumbusho ya taifaSeptembar 27 Mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Mjumbe wa Kamati tendaji wa UNA Maadhisho hayo Irene  Kijangwa amesema kuwa katika kongamano hilo lenye kaulimbiu  "Asili yangu  Fahari yangu" lina lenga kuwa Elimisha juu ya uhifadhi urithi nchini, juu ya utamaduni na utalii endelevu.

"Mkutano huu unalenga kuwa wezesha Viongozi Vijana kuwa wasimamizi wa urithi wetu nawashirikisha vijana kuwawasimamizi wa urithi wetu nawashirikihai katika kukuza utalii Endelevu na kuhifadhi hazina kitamaduni".Alisema Mjumbe wa kamatitendaji Irene kijanbgwa.

Irene kijangwa alisema kuwa dhima ya mkutano huo  nikuongeza uelewa wa vijana  juu ya hatuazinazoweza kuchukuliwa katika uhifadhi urithi wa kiutamaduni.

Alisema lengo la kongamano hilo linalenga kukuza uelewa wa vijana juu ya uhifadhi wa utamaduni na utalii endelevu.
"Kongamano hili linalenga kuwapa vijana juu ya uelewa juu ya hatua zinazochukuliwa katika uhifadhi wa urithi wa kitamaduni na kuwahamasisha  vijana hao juu ya uhifadhi wa kitamaduni"Aliongeza Irene kijangwa.

0/Post a Comment/Comments