Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa NORAD wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi sambamba na utiaji wa saini wa makubaliano ya usaidizi kati ya COSTECH na NORAD ambayo imefanyika katika ukumbi wa Tume hiyo leo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dkt Amos Nungu akizungumza na Balozi wa Norway nchini Tanzania Tonne Tines katika uzinduzi wa mradi wa NORAD wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi sambamba na utiaji wa saini wa makubaliano ya usaidizi kati ya COSTECH na NORAD ambayo imefanyika katika ukumbi wa Tume hiyo leo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dkt Amos Nungu akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa NORAD wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi sambamba na utiaji wa saini wa makubaliano ya usaidizi kati ya COSTECH na NORAD ambayo imefanyika katika ukumbi wa Tume hiyo leo jijini Dar es salaam.
AJENDA YA UTAFITI NCHINI INAKWENDA KUWA KUBWA SANA - DKT. JAFO
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dkt. Amos Nungu na Mkurugenzi Msaidizi katika Kitengo cha Utafiti Elimu ya Juu Bi. Solbjorg Sjoveian wakisaini makubaliano ya ushirikiano katika ufafiti wakati wa hafla ya uzinduzi wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) leo jijini Salaam.
Baadhi ya wadau ambao wameshiriki uzinduzi wa mradi wa NORAD wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi na utiaji wa saini wa makubaliano ya usaidizi kati ya COSTECH na NORAD ambayo imefanyika katika ukumbi wa Tume hiyo leo jijini Dar es salaam
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na wadau wa masuala ya utafiti wakati wa hafla ya uzinduzi wa Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) leo Oktoba 11, 2023 jijini Dar es Salaam.
......,...............



Post a Comment