_RAIS DK. MWINYI AONGOZA DUA SIKU YA KUMBUKUMBU YA KARUME




.....,,...........

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameongoza kisomo cha Dua na Hitma ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, iliyofanyika Afisi Kuu CCM Kisiwandui  Zanzibar tarehe 07 Aprili, 2024.

Viongozi mbalimbali wameshiriki wakiwemo wa Serikali, Dini , Vyombo vya ulinzi na usalama na Vyama vya siasa.

0/Post a Comment/Comments