HomeMICHEZO ONANA NA AWESU WATUA KAMBI YA SIMBA MISRI byTorch Media -July 19, 2024 0 ******* Wachezaji wa Simba SC,Awesu Awesu na Willy Onana wamewasili kambini Ismailia, nchini Misri, hii leo kwa ajili ya kufanya maandalizi (Pre-season)na nyota wengine kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC.
Post a Comment