WADAU WAENDELEZA MCHAKATO (UPR)

Afisa Program Mwandamizi LHRC Raymond Kanegene akizungumza na waaandishi wa habari katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripoti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam.
Mwakilishi kutoka Shirika la Save The Children Innocent Estomih akizungumza na waaandishi wa habari katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripooti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam
Mwanasaikolojia kutoka Shirika la C-SEMA Jenipha Kalman  akizungumza na waaandishi wa habari katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripoti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam.
Thabit Juma kutokea Shirika la msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu Zanzibar  (ZALHO) Kalman  akizungumza na waaandishi wa habari katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripoti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya LHI-Tanzania William Mtwazi akizungumza na waaandishi wa habari katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripoti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam
Baadhi ya wadau ambao wameshiriki katika kikao cha kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripoti ya tathmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) ambacho kimefanyika leo kwenye ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es salaam.

..............................

NA MUSSA KHALID

Imeelezwa kuwa mchakato wa Ripoti Ya Tahmini ya Hali ya Haki za Binadamu (UPR) utakapokamilika vizuri kwa mapendekezo kufika serikalini na kwenye Baraza la Haki za Binadamu italeta matokeo chanya kwa maendeleo.

Hayo yamejiri kufuatia Asasi zisizo za Kiserikali ikiwemo Shirika la Save The Children,Kituo cha Sheria za Haki za Binadamu (LHRC),Mtandao wa watetezi wa haki za bianadamu (THRDC),Taasisi ya ya Sheria na Ujenzi wa Afya Tanzania na C-SEMA kujadili muendelezo wa Mchakato wa uandishi wa ripooti ya tahmini ya Hali ya Haki za Binadamu UPR ambao ulianza tangu mwaka 2022.

Akizungumza leo jijini Dar es salaam katika kikao hicho cha wadau  za Kiraia Mwakilishi kutoka Shirika la Save The Children Innocent Estomih amesema kuwa wanategemea mapendekezo yaliyotolewa yanazingatiwa na kupelekea chachu ya maendeleo.

Afisa Program Mwandamizi LHRC Raymond Kanegene amesema ni vyema serikali ikashirikana na asasi za kiraia ili kukubaliana kuwa na mtizamo mmoja zilizona ukweli na uhalisia katika jamii.

Aidha baadhi ya wadau Mwanasaikolojia kutoka Shirika la C-SEMA Jenipha Kalman,Thabit Juma kutokea Shirika la msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu Zanzibar  (ZALHO),pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya LHI-Tanzania William Mtwazi wamesema wanatumaini mapendekezo waliyoyatoa kwenye ripoti hiyo zitakwenda kutatuliwa.

Mchakato wa uandishi wa ripooti ya tahmini ya Hali ya Haki za Binadamu UPR ambao ulianza tangu mwaka 2022 ambapo serikali ilifanyiwa tathimini na Umoja wa Mataifa kupitia Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za biandamu,Jumla ya Mapendekezo 252 yalitolewa na Tanzania ilikubali mapendekezo 187 ili kufanyia utekelezaji kwa kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2022/26

0/Post a Comment/Comments