BAKHRESA KWENYE USIKU WA TUZO ZA TRA MASAKI

****

Said Salimu Awadh Bakhresa  mfanyabiashara mwenye mafanikio na uzoefu wa zaidi ya miaka 30  akiwa kwenye  tuzo kwa Walipakodi bora kwa mwaka 2023/2024 tukio linalofanyika Masaki  Jijini Dar es Salaam leo January 23,2025.


Tuzo hizo zinatolewa na  Mamlaka ya mapato nchini TRA na mgeni wa heshima ni Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan 


 

0/Post a Comment/Comments