********
Naibu waziri wa habari, sanaa, utamaduni na michezo mhe. Hamis Mwinjuma amesema serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia baraza la taifa la michezo litaleta wakufunzi wa mchezo wa ngumi nchini.
"Haya sisi tutasimamia ili kuhakikisha kila mtu ana fursa sawa ya kufanya kama kutakua na ada itakua ni ndogo sana lakini serikali itabeba mzigo huu kuhakikisha walimu wetu wanapitia kwa wakufunzi na wanapata ushahidi kwa maana ya vyeti kuhakikisha wanafundisha kwa usahihi mabondia wanakuja kupanda kwenye ulingo ambazo sisi tunaangalia kama mchezo.
"Kamisheni hili la kwenu na baraza litasimamia kuleta hawa
wakufunzi na kamisheni mtahakikisha
walimu wetu wote wanaofundisha ngumi mabondia wanaokuja kupanda ulingoni
wanapitia kwenye semina hizi,"amesema naibu waziri huyo.
@tpbrctz_official
@wizara_sanaatz
Post a Comment