Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amewataka Wananchi wa Jimbo la Ubungo lililopo Jijini Dar es Salaam kuwa makini na watu wanaosaka Ubunge wa Jimbo hilo kwa kutumia jina lake.
Prof. Kitila amesema Mwaka huu 2025 atachukua Fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo na amejipanga kupambana na Hali yoyote atakayokutana naye kwenye mapambano maana Uchaguzi ni mapambano na Yeye ni mzoefu wa masuala ya Siasa.
Post a Comment