ETDCO YASHIRIKI MAAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
byTorch Media-0
******
Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha.
Post a Comment