RAIS SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI SAME-MWANGA-KOROGWE

*****

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga mkoani Kilimanjaro tarehe 09 Machi, 2025.




 

0/Post a Comment/Comments