RAIS SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI SAME-MWANGA-KOROGWE
byTorch Media-0
*****
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga mkoani Kilimanjaro tarehe 09 Machi, 2025.
Post a Comment