*****
TAMASHA la kuombea Uchaguzi
Mkuu kufanyika mikoa 26 kuanzia jijini Dar es Salaam mwaka huu ambapo waimbaji mbalimbali
wanatarajiwa kupamba tamasha hilo.
"Waimbaji kutoka Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda wanatarajia kupamba tamasha hilo la uimbaji na Maombi ya uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Aidha ameongeza kwa kuwaomba viongozi wa vyama vya siasa kutumia lugha zisizo za matusi katika mikutano yao bali kutumia lugha za siasa zenye heshima hata kwa vizazi vyetu.
Pia amewaomba wadau na watu
mbalimbali kujitokeza kutoa ushirikiano wa kudhamini ili kufanikisha tamasha
hilo
Post a Comment