TANESCO YAJIPANGA KUBORESHA SGR

****

Shirika la umeme Tanzania(Tanesco) limeandaa  mpango wa kuweka 

 wamanejimenti ,utawala na kuwa mkoa wa SGR  ilikukabiliana na changamoto   zinazoweza kujitokeza.

Ameyasema  hayo Leo 26.march 2025 jijini Dodoma, Mkurugenzi mtendaji  wa shirika hilo Mhandisi Gissima Nyamo_Hanga wakati wa mkutano wake na waandishi  wahabari  alipokuwa akielezea mafanikio ya Tanesco ndani ya kipindi cha miaka minne.

Nyamo  _hanga  amesema Tanesco  wanaendelea kuimalisja huduma ya umeme kwenye SGR  kwa kuweka meneja wa mkoa ,utawala maalum ,mafundi na mainjinia  kwa ajili ya kuangalia huduma katika mkoa wa SGR. 

Hata hivyo shirika la umeme Tanzania  limewahakikishia watanzania kuwa hakuna changamoto yoyote ya umeme itakayo jitokeza katika safari za tren ya mwendo kasi SGR.




 

0/Post a Comment/Comments