WAZIRI MKUU AZUNGUMZA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU – KAZI, AJIRA NA MAHUSIANO, DEUS SANGU
byTorch Media-0
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu , ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Januari 15, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu , ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Januari 15, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment