DEUS SANGU ASHIRIKI SHUGHULI ZA UVUVI KIRUMBA KATIKA MUENDELEZO WA UTOAJI ELIMU YA SKIMU YA HIFADHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akijionea shughuli za uvuvi katika maeneo ya kazi ya wavuvi katika Soko la Kimataifa la Samaki Kirumba jijini Mwanza, ambapo pia alishiriki kuvua samaki akishirikiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba.


 

0/Post a Comment/Comments