MOROCCO YAPEWA UBINGWA WA AFCON, YAIPOKONYA SENEGAL

               *******

Morocco wametangazwa washindi wa AFCON! CAF imeyabatilisha matokeo ya fainali na kuwapa Morocco ushindi wa 3 – 0. 

Taarifa kutoka CAF imesema kwamba Senegal "imetangazwa kuwa ilisusia fainali".

0/Post a Comment/Comments