DKT. WMIGULU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA PALESTINA




Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amefanya mazungumzo na Balozi wa Nchi ya Palestina nchini Tanzania, Mh. Salam Abu Sharar, leo Jumanne tarehe 2 Juni 2026 ofisini kwake Bungeni, jijini Dodoma.

 

Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.


 

0/Post a Comment/Comments