Hayo yamebainishwa leo mapema Jijini Dar es Salaam na Afisa
uhusiano wa Cosota Anita Jonas wakati
akizungumza na waandishi habari kwenye maonyesho ya 48 ya Biashara Nchini
maarufu Saba Saba .
Anita amesema wao kama Cosota wanajivunia kuwakutanisha
wadau wao husususani wa kazi za Ubunifu na hakimili, pamoja na kuhamasisha
wadau wengine kwenda kwenye Banda lao kusajili kazi na Ubunifu ili kuepusha
wizi na udurufu WA kazi zao
Post a Comment